Entertainment, News and Gossip - In and Out of Tanzania
CONTACT: Email | focusbongo@gmail.com
Audio: Koku ft. One Six - Nimechoshwa
Wakali wawili wakishindana katika ngoma moja kutoka Dreams Records. Majibizano flani ya mapenzi, kila mtu akionekana kuchoshwa na ya mwenzie. Hii hapa "Nimechoshwa" ya Koku akiwa na mkali wa sauti/vocal, One Six, ambae sasa anatamba na kibao chake cha sweet reggae "MAYA" kilichofanywa na Dash Touches.
0 comments: