Maandalizi ya Video ya Ghetto Anthem ya Shentee the Don na Junior Ambary Mafia

Ni shida na hatari za hali ya juu ktk maandalizi ya video ya wimbo "Ghetto Anthem". Hii ni moja kati ya video ambazo naamini kwa msimu huu italeta shida sana ktk media na mitandao ya kijamii.
Shentee the Don na Junior Ambary Mafia huwa wanajipanga sana ktk harakati za kunyanyua mziki wao.

Video hiyo inafanywa na Erick Backamaza chini ya kampuni iitwayo After DayLight Films iliyopo Dom town.

Sacho Buay pia alikuwemo kucover nafasi yake murua kabisa






Bongo Focus ilijaribu kutembelea sehemu ambayo video hiyo ilikuwa inaandaliwa, pembeni ya Maisha Club, Dodoma na kuangalia jinsi gani video ya wimbo huo ikifanywa.

Kwa undani zaidi ikiongea na muongozaji msaidizi Raph Tz au Raph Tanzania, nae alisema kwamba video hiyo imebaki sehem moja tu kufanyiwa ktk kitaa cheupe ama " White Screen" na baadhi ya maeneo machache.
Big Up kwa wote walioshiriki.



0 comments: