News: Rais wa Zanzibar Atangaza Kumfuta Kazi Mwanasheria Wake
Katika taarifa iliyotolewa jioni ya tarehe 07/10/2014, bila kuweka
bayana sababu za mabadiliko hayo, Dkt Shein amemteua aliyekuwa msaidizi
wake Hassan Said Mzee kushika nafasi hiyo.
Chanzo: EATV Page, Facebook
0 comments: