Jaco Beatz na Raph Tz ndani ya Bongo Page ya Dj Rodger, ABM Radio 91.2 Dodoma
Jaco Beatz alikwenda kuzungumzia ngoma yake "NDO YEYE" na harakati zingine za mziki, vivyo hivyo kwa Raph Tz alikuwa ananukisha ngoma mbili, "JIPANGE" aliyofanya na Tundaman na Darasa, na "I CAN" alowashirikisha One Six, Uncreakable na Miracle.
Hii hapa.
0 comments: