New Video | Mwambie - Raph Tz ft. Mansu Li & One Six

0 comments
Moja kati ya video ya msanii anayekuja kwa kasi katika BongoFleva basi ni ya ngoma "Mwambie" ya kwake Raph Tz akiwa na One Six na Mansu Li.

Video imefanywa na Dee Moolah wakati audio ya ngoma hiyo imepikwa pale The Don Records na mkali wa kuitwa Daddy.

Enjoy good music

New Audio | Raph Tz ft. One Six & Mansu Li

0 comments
Kutokea The Don Records, hili hapa dude jipya la kwake Raph Tz akiwa na One Six na mkali wa Hiphop, Mansu Li.
It's one of the best song



New Audio | Raph Tz x BOB Micharazo - Tunafanya

0 comments
Baada ya kimya kirefu, kundi la hiphop na bongofleva toka jijini Dar es Salaam la BOB Micharazo, limekuja na ngoma yao mpya likishirikiana na msanii Raph Tz "King wa Banda".

Ngoma iliyopewa jina la "TUNAFANYA" imefanyika ktk studio ya THE DON RECORDS ya Mabibo, Dar es Salaam chini ya mtayarishaji Geof Master akishirikiana na Plumber 'Mwezi'.


Ngoma hiyo imechomoa vichwa vitatu toka BOB Micharazo yani, msanii Becka Title, Blood Gazza na Uswege Master kwa pamoja walifanya poa sana humu ndani.
Enjoy


Video | Kayumba & Sharara - Ndondo Cup

0 comments
Add caption


Video | Kayumba - Bonge la Toto

0 comments


Video | Kayumba - Maumivu

0 comments


Video | Kayumba - Wasiwasi

0 comments


Video | Kayumba ft. Linah - Umeniweza

0 comments


Video | Hamisa Mobetto - My Love

0 comments


Video | Hamisa Mobetto - Nipotezee

0 comments


Video | Hamisa Mobetto - Madam Hero

0 comments


Video | Hamisa Mobetto ft. Whozu - Sensema

0 comments


Video | Christian Bella ft. Hamisa Mobetto - Boss

0 comments


Video | D Moe ft. Jaco Beatz - Nibaki

0 comments


Video | Goodluck Gozbert - Nibadilishe

0 comments
Baada ya kuamua kuachana na utunzi na utayarishaji wa muziki wa bongofleva na kujikita zaidi katika uandishi na uimbaji wa nyimbo za Injili, msanii Goodluck Gozbert, ambae zamani alifahamika kama Lollipop, hivi karibuni ameachia video ya wimbo wake wa "Nibadilishe".

Ni moja kati ya nyimbo kali za dini uliochanganya ladha za mziki wa kizazi kipya na staili fulani kutoka nchi jirani ya Kenya.

Si ufundi tu, hata kipaji na baraka za Mungu zimeendelea kummiminikia kijana huyu anayeaminika kuwa ni mmoja wa vijana wanaofanya vizuri sana ktk kazi ya sanaa ya mziki wa Injili.
Hii hapa video ya Nibadilishe.

Video | Zablon Singers - Mkono Wa Bwana

0 comments
Mkono wa Bwana ni wimbo wa dini ambao kwa sasa umekuwa habari ya mjini katika sehemu mbalimbali za ibada na za starehe, zikiwemo bar, clubs na sehemu nyingine ambapo wimbo huu unachezwa.

Huu ni wimbo wenye ushawishi mkubwa wa kumsifu Mungu na umekuwa ukipendwa sana na mashabiki wa dini zote licha ya kuwa ni wa dini ya kikristo.

Video yake ilitoka tarehe 19 Oktoba 2016, na hadi kufikia siku ya Jumatano ya terehe 18 Desemba 2019 umefikisha watazamaji 12,076,972 kupitia mtandao wa kijamii wa Youtube na bado umeendelea kuwa wimbo pendwa kila siku japo umetoka zaidi ya miaka 2 na nusu iliyopita.

Angalia na enjoy.


Video | Rostam ft. Nay Wa Mitego - Kijiwe Nongwa

0 comments


Video | Baddest 47 ft. Shilole - Nikagongee (Remix)

0 comments


Video | Baddest 47 - Nikagongee

0 comments


New Video | D Moe - Waow

0 comments